google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html "Mtaanu Walikuwa wananiita kigulu, Walinitegeshea Tego" - G Nako Warawara | UDAKU SPECIAL

"Mtaanu Walikuwa wananiita kigulu, Walinitegeshea Tego" - G Nako Warawara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa msanii G Nako Warawara ambaye ameshea "fun fact'' yake ambayo ilimfanya kuteguka mguu wakati anacheza mpira na watu kuanza kumuita jina la kigulu  

"Fun Fact kuhusu mimi ni kipindi nacheza mpira jamaa waliniwekea buyu kwenye mpira, walikuwa wanajua napenda sana mpira hivyo walitengeneza jiwe ambalo limesukwa vizuri kama mpira wakaweka kisha nipige, nilivyopiga mguu ulitenguka kwa hiyo tangu siku hiyo wakawa wananiita kigulu huko mtaani kwetu Makao Mapya Arusha" amesema G Nako 


G Nako kutokea Kampuni ya Weusi anatajwa kama ni mmoja wa wasanii bora kwenye upande wa vitikiio yaani choras killer na ameshatoa hit songs kibao kama mama yeyoo, gusanisha, arosto na kitonga

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad