Muda wa Kutuma Maombi ya Ajira Waongezwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu, ametangaza kuongeza muda wa kutuma maombi ya ajira zilizotangazwa na Wizara.

 

TAMISEMI ilipata kibali cha kuajiri walimu 6,949 na watumishi wa kada mbalimbali za Afya 2,726 ambapo mwisho wa kutuma maombi ulikuwa Mei 23, 2021.

 

Sasa muda umeongezwa hadi Mei 28, 2021 saa 5:59 usiku, walioshindwa kutuma maombi kwa changamoto yoyote wameshauriwa kufanya hivyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad