Nuh Mziwanda aitwa polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






 Msanii wa muziki nchini Nuh Mziwanda ameitwa na jeshi la polisi katika kituo cha  Oysterbay . Taarifa hiyo ameitoa msanii huo kwenye ukurasa wake wa instagram bila kutoa sababu iliyofanya aitwel

Aidha, Nuh ameeleza kuwa anaheshimu wito huo na atafika kituoni hapo.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad