Rais Kenyatta amteua Martha Koome kuwa Jaji Mkuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amemteua Martha Koome kuwa Jaji Mkuu wa nchini humo.
Kabla ya uteuzi huo, Bunge la Kenya lilimuidhinisha mwanamama huo.

Baada ya kuapishwa Bi. Koome atakuwa mwanamke wa kwanza nchini Kenya kushikilia wadhifa huo .

Wabunge siku ya jumatano walipiga kura kupitisha ripoti ya kamati ya bunge kuhusu haki na masuala ya sheria ambayo iliidhinisha pia kuteuliwa kwake ili kuichukua nafasi ya jaji mkuu mstaafu David Maraga

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad