Rais Samia aagiza wenye elimu ya darasa la saba walioondolewa kazini kulipwa mafao yao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Serikali imeagiza wafanyakazi wote wenye elimu ya darasa la saba walioondolewa kazini lakini hawakughushi vyeti walipwe mafao na stahiki zao zote.
Agizo hilo limetolewa leo Jumamosi Meimosi, 2021 mkoani Mwanza na Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi iliyofanyika kitaifa mkoani Mwanza.

"Wapo waliosita kutekeleza maelekezo ya malipo haya kwa kisingizio cha kutotolewa mwongozo, mwongozo ndio huo sasa nimetoa," amesema Rais Samia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad