Rapa Chemical ahitimu masters UDSM, apata scholarship kusoma PHD Scotland chuo alichosoma Prince Harry (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa muziki wa hip hop kwenye muziki wa Bongo Fleva, @chemical_tz wiki hii amehitimu masomo yake ngazi ya Masters of Arts in Heritage Management ambapo hatua hiyo imemfanya kupata scolaship ya kwenda kusoma PHD nchini Scotland katika chuo ambacho amesoma Prince Harry.

Rapper huyo amemshukuru mwalimu wake @ichumbaki kutoka mradi wa @urithiwetu aliyenisimamia mpaka nikafanikisha vyote hivyo.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad