Simbachawene: Kitambulisho cha Nida Hakihalalishi Kuwa Raia wa Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA) hakuhalalishi Mtu kuwa Raia wa #Tanzania.


Akiwa Bungeni, Simbachawene ameeleza Uraia wa Tanzania una #Sheria ya Uraia na una mchakato wake hivyo kitambulisho cha NIDA ni kwa ajili ya kuwatambua tu Wananchi na hutolewa hata kwa Wakimbizi na Wahamiaji wakazi.


Ameongeza “Ukipata kitambulisho hiki sio mwarobaini kwamba wewe umeshamaliza sasa hutaulizwa hapana, utaulizwa na utanyang’anywa hicho kitambulisho kama tukigundua wewe sio Raia wa Tanzania”.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad