Taarifa ya Simba kuhusu kifo cha mke wa Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Kocha msaidizi wa klabu ya soka ya Simba, Selemani Matola amethibitisha taarifa kuwa mchezaji Clatous Chama amefiwa na mke wake, Mercy Chama.

 


Amesema hayo muda mchache kabla ya kuanza kwa mechi ya Namungo FC dhidi ya Simba katika Uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi.


Amesema wamepokea taarifa za kifo hicho mchana wa leo, ikiwa ni baada ya kuugua kwa muda akiwa nchini kwao Zambia.


"Tumepata taarifa hizi mchana wa leo na baada ya mchezo dhidi ya Namungo klabu itapanga namna ya kushughulikia suala hili", amesema Matola.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad