Uhuru Kenyatta: Mtu akipimwa Corona Tanzania asizuiliwe kuingia Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Tungependa kuona wawekezaji wengi wa Tanzania waje wafanye kazi zao zaidi Kenya, wawekezaji wa Tanzania mjue kwamba mko na uhuru wa kufanya biashara zenu hapa bila kuombwa ‘business visa’ na work permits ila mfuate sheria na kanuni zilizowekwa”



“Ninataka Mawaziri ambao mnahusika mtatue ule msongamano ambao upo Horiri, Taveta na Namanga magari yaweze kutembea, kama ni cheti cha COVID-19 isiwe ‘issue’ kama mtu amepimwa Tanzania basi iwe sawa aingie Kenya”

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad