Vibanda Katikakati ya Jiji Kuondolewa Kabla ya Mei 18

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waliojenga vibanda vya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam wametakiwa kuviondoa kabla ya Mei 18, 2021

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amesema hawajazuia Wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao, bali wanatakiwa wauze bidhaa kwenye meza wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi

Amebainisha kuwa Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda, hivyo amewataka Wafanyabiashara kutii agizo hilo kabla ya muda uliopangwa


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad