AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waliojenga vibanda vya biashara katikati ya Jiji la Dar es Salaam wametakiwa kuviondoa kabla ya Mei 18, 2021
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amesema hawajazuia Wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao, bali wanatakiwa wauze bidhaa kwenye meza wakimaliza waziondoe na kuacha maeneo wazi
Amebainisha kuwa Sheria ya Mipango Miji hairuhusu kujenga vibanda, hivyo amewataka Wafanyabiashara kutii agizo hilo kabla ya muda uliopangwa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK