AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kwa mujibu wa Sheria kila mtu anatakiwa kuweka nywila “Password” katika simu na vitu vingine vinavyohusisha mfumo huo.
Hayo yamebainishwa na Dr.Philip Filikunjombe ambaye ni Msimamizi wa Kitengo cha Usimamiaji na Utekelezaji cha (TCRA) ambapo pia amewataka wananchi wakiwemo Waandishi wa Habari za Kimitandao ya Kijamii kuzingatia Misingi ya Sheria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK