google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html WEMA atoa povu zito baada ya kushambuliwa kuhusu ZARI, "Nina mdomo mchafu kama nikiamua" | UDAKU SPECIAL

WEMA atoa povu zito baada ya kushambuliwa kuhusu ZARI, "Nina mdomo mchafu kama nikiamua"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


WEMA atoa povu zito baada ya kushambuliwa kuhusu ZARI, "Nina mdomo mchafu kama nikiamua"

Wema Sepetu Ameandika Haya:

Naomba niseme hivi, Sipendi chokochoko... Maana Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha sio... Kama maneno always yanaanziaga upande wa pili but ilivyo ada Wema ndo huonekana mwenye tatizo... Nimechoka... Cause mi mdomo mchafu ninao haswaaaa but kuamuaga kukaa kimya nisionekane mjinga basi... Its Eid at the end of the day... Sitaki chokochoko...‼️ Ifike point niachwe jamani.... Akhaaa...‼️Jus wanted to address this na sitohitaji maoni ya mtu yoyote... Mkadiscuss huko kwa page zenu na sitaki kuziona... Nitakuwa busy na Eid yangu mie... Hope everyone has fun... Too much Love from me to You.


VIDEO:



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad