AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya kwanza msanii Whozu amejibu taarifa zinazosemekana mitandaoni kwamba mpenzi wake Cappiccuno Tunda ni mjamzito kwa kusema mpenzi wake huyo sio mjamzito na hakuna kitu kama hicho.
Pia Whozu amesema tayari ameshaandaa jina endapo akipata mtoto ambapo atamuita Lora kwa sababu analipenda sana na tayari ameshachora tattoo ya jina hilo kwenye mwili wake.
"Lora ni jina ambalo nalipenda sana tangu nikiwa nasoma natamani kwenye maisha yangu nikipata mtoto wa kwanza au wa pili lazima aitwe Lora, Tunda hana ujauzito ila hapa nimeongea tu" amesema Whozu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK