AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini amekamatwa pamoja na watu wengine wawili kwa madai ya kujaribu kuwauza watoto wake wawili wachanga pacha, vyombo vya habari nchini humo vimeripoti.
Mama huyo anadaiwa kuwa mraibu wa madawa ya kulevya na alijaribu kuwauza watotowake kwa ajili ya ‘kukata kiu uraibu wa dawa”, msemaji wa polisi Yolisa Mgolodela, alinukuliwa akisema.
Mapacha wa siku tano wasichana walipelekwa kwasababu walikuwa na “upungufu wa maji mwilini na utapiamlo”, ilisema polisi.
Washukiwa wanatarajiwa kufika mahakamani kujibu mashtaka ya ulanguzi wa binadamu Jumatatu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK