AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nigeria ilifungia mtandao wa kijamii wa #Twitter kwa madai unahatarisha Usalama wa Nchi. Mwanasheria Mkuu, Jenerali Abubakar Malami ameagiza kufunguliwa mashtaka kwa yeyote atakayekaidi agizo la Serikali la kufungia Twitter
Hatua ya kufungia Twitter ilikuja muda mfupi baada ya mtandao huo kufuta Tweet ya Rais wa #Nigeria, Muhammadu Buhari ukisema alikiuka Sheria zao
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK