Breaking: Kesi Ya Sabaya Yaahirishwa Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




KESI no 27/2021 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa

 

Kesi hiyo Leo Juni 18, 2021 imetajwa na kuahirishwa baada ya ofisi ya mwendesha mashitaka kuomba kuahirishwa kesi hiyo kutokana na ushahidi kutokamilika.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Julai 2, 2021

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad