AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mimi naona sawa tu kwa sababu sijaongea naye muda sana ila Mimi Mars ananisapoti sana, tuliacha mambo kwenye sehemu nzuri , huwezi kumlzimisha mtu akusapoti hiyo inatoka kwenye moyo wa mtu”
Mimi niliondoka Mdee Music bila ugomvi hiyo ilikuwa mipango tu na naona menejimenti yangu ya sasa inanifaa zaidi, Mdee Music ilinitangaza sana ngoma zangu zilipigwa mpaka Nigeria, Ghana, Afrika Kusini”. – @briansimba_
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK