Brian Simba afunguka Vanessa Mdee kuacha kumpa sapoti, sijaongea naye muda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



“Mimi naona sawa tu kwa sababu sijaongea naye muda sana ila Mimi Mars ananisapoti sana, tuliacha mambo kwenye sehemu nzuri , huwezi kumlzimisha mtu akusapoti hiyo inatoka kwenye moyo wa mtu”

Mimi niliondoka Mdee Music bila ugomvi hiyo ilikuwa mipango tu na naona menejimenti yangu ya sasa inanifaa zaidi, Mdee Music ilinitangaza sana ngoma zangu zilipigwa mpaka Nigeria, Ghana, Afrika Kusini”. – @briansimba_


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad