Habari Nzuri Kwa Watanzania..Timu ya KRC Genk Yamsajili Kelvin John Mbappe”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Soka KRC Genk ya Ubelgiji imemsajili kinda wa Tanzania, Kelvin John maarufu kama ‘Mbappe’ hadi mwaka 2024, ambapo ataweza kuongeza mkataba kwa misimu miwili.



Kelvin alikuwa Brooke House Football Academy nchini Uingereza, ambapo ilimbidi kusubiri atimize miaka 18 ili aweze kusajiliwa.

KRC Genk imetoa taarifa kwenye mitandao yake ya kijamii.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad