Harmonize Afunguka Kuwasamehe Wote Waliosambaza Picha zake za Utupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Harmonize amesema kwamba amewasamehe wote ambao aliwashtaki kwa madai ya kuvujisha picha zake za utupu kwenye sakata lilitokea miezi kadhaa iliyopita. Kwenye mkutano na Waandishi wa habari leo, @harmonize_tz amesema tayari amefuta kesi hiyo mahakamani.

Miongoni mwa watu ambao alikuwa amewashtaki ni pamoja na Rayvanny, Diva The Bawse, Baba Levo na wengine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad