AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Harmonize amesema kwamba amewasamehe wote ambao aliwashtaki kwa madai ya kuvujisha picha zake za utupu kwenye sakata lilitokea miezi kadhaa iliyopita. Kwenye mkutano na Waandishi wa habari leo, @harmonize_tz amesema tayari amefuta kesi hiyo mahakamani.
Miongoni mwa watu ambao alikuwa amewashtaki ni pamoja na Rayvanny, Diva The Bawse, Baba Levo na wengine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK