Hatimaye Diva Loveness Ajiunga na WASAFI Media....Wagombanao Ndio Wapata Nao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mtangazaji maarufu wa vipindi vya usiku diva anejiunga na Wasafi media kwa mujibu wake akifanyiwa mahojiano amesema amesaini mikataba aliyopewa na Diamond ambao atakuwa analipwa zaidi ya kile alichokuwa analipwa na media aliyofanya nayo kazi lakini ameongea pia amepewa gari na Diamond. Ameongea kuwa Diamond amemuajiri baada ya kutatua ugomvi wao walikuwa nao.

Akaulizwa kwanini hivi karibuni alikuwa anamshabikia Sana diamond? Akajibu nilianza kumshabikia baada ya diamond kufuta kesi dhidi yake mahakamani na ndipo nikaamua kuacha kuwa na ugomvi nae

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad