AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji wa filamu za Bongo nchini Tanzania Wema Sepetu amejipata pabaya baada ya kifichuliwa kwa kitendo chake cha kukiuka mkataba.
Mwanadada huyo maarufu nchini Tanzania aliingia kwenye mkataba na kampuni moja ya madaktari nchini Kenya kwa jina “Viva Serenity”.
Chini ya mkataba huo, kampuni hiyo ingegharamikia upasuaji wa kumsaidia kupunguza uzani wa mwili naye aifanyie matangazo ya kibiashara kama balozi wake.
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK