google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html John Bocco mchezaji bora mwezi May | UDAKU SPECIAL

John Bocco mchezaji bora mwezi May

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Nahodha John Bocco ameibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mwezi wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) baada ya kupata kura nyingi.
Bocco amewashinda kiungo mshambuliaji Bernard Morrison na kiungo mkabaji Taddeo Lwanga ambao waliingia fainali kwenye kinyan’ganyiro hicho.

Tuzo hiyo inadhaminiwa na Kampuni ya Emirate Aluminium Profile ambapo wachezaji watatu huingia fainali na kupigiwa kura na mashabiki kupitia tovuti hii ya klabu.

Bocco atakabidhiwa kitita cha Sh 1,000,000 na Emirate Aluminium kama zawadi ya ushindi.

Mchanganuo wa kura zilivyopigwa:

John Bocco – 3, 942 (59.3%)

Bernard Morisson – 1,956 (29.4%)

Taddeo Lwanga kura 744 (11.3%)


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad