"Kibenten Wangu Anakuna Nazi" - Tabu Mtingita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mchekeshaji Tabu Mtingita amesema amemtoa mbali sana mpenzi wake Alex Gitaa na moja ya sifa za mpenzi wake huyo ni kumsadia kukuna nazi awapo nyumbani wakati wanafanya maandalizi ya chakula.


Tabu Mtingita amesema baadhi ya wanawake mitandaoni wanamtaka mpenzi wake Alex kwani anaona ujumbe 'Direct message' anazotumiwa kwenye mtandao wa Instagram.


"Wanamtaka kijana wangu halafu mimi nimemtoa mbali huyu na naziona DM nyingi za kumtaka, mimi ni pisi kali  siwezi kumpiga mume wangu, tunaishi vizuri tunapendana na tunaheshimiana, yupo tofauti amelelewa kwanza anaweza kukuna nazi tangu akiwa mtoto kuosha vyombo na kupika" ameeleza Tabu Mtingita

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad