Kigamboni: Mtambowa wanaoiba mafuta wabainika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ukaguzi uliofanywa na Mkuu wa Wilaya umebaini nyumba moja iliyopo Ulongozi ina vifaa vya kuchimba visima, lakini vinatumika kuchimba kuelekea Bomba la Mafuta
Katika Ukaguzi huo vifaa mbalimbali vimegundulika yakiwemo magari yanayosadikiwa kutumika kubeba mafuta kutoka eneo wanalochimbia na kuyasambaza maeneo mbalimbali

Nyumba inayotumika kufanya shughuli hizo imekutwa na ulinzi mkubwa wa Kamera na walinzi japo hapakuwa na shughuli yoyote inayoendelea ndani. Imeelezwa, aliyepanga nyumba analipa Tsh. Milioni 60 kwa mwaka kama Kodi



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad