Kigwangalla Ampigia Saluti ya Kijeshi Young Lunya "You’ve Got Skills"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Jimbo la Nzega Vijijini Tabora Mhe Hamisi Kigwangalla amemsifu msanii Young Lunya na amempa moyo kwa kuendelea kufanya vizuri kwa sababu ana ujuzi mwingi.

Kutoka kwenye ukurasa wa Twitter anaoutumia Hamisi Kigwangalla ameandika kuwa 

"Dogo Young Lunya kaupiga mwingi sana mpaka kanifanya nimfuatilie, si unajua mimi ni mpenzi wa Oldies, hawa wa kizazi chenu hawa bhana ila kani-impress sana kwa kweli! leo siku ya pili nafanya mazoezi na nyimbo zake 'Keep it up' mdogo wangu, you’ve got skills" 


Young Lunya kwa sasa anatamba na wimbo wake wa mbuzi na video yake ipo Trending namba 17 kwenye mtandao wa YouTube, na video hiyo amei-shoot nchini South Africa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad