Kocha Mourinho Aliacha Nuksi Gani Tottenham?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha wa Sevilla Julen lopetegui naye ameikataa ofa ya kuifundisha Tottenham ya Uingereza baada ya kuombwa kujiunga nayo ,kama ambavyo makocha wengine Antonio Conte,Paulo Fonseca Ganaro Gattuso walivyofanya.

Kwa mujibu wa Rais wa klabu ya Sevilla Jose Castro amesema’’ Ni kweli Tottenham walimuhitaji kocha wetu lakini alikaataa kwa kuwa ana furaha kufanya kazi mahala hapa na pia mapenzi ya dhati na timu yetu ‘’

Tottenham imekuwa bila kocha kwa muda sasa tangu Jose Mourinho atimuliwe mwishoni mwa mwezi aprili kutokana na mwenendo mbaya ya matokeo.

Mwenyekiti wa timu hiyo Daniel Levy amekuwa akihaha kutafuta mbadala wa Mourinho bila mafanikio, makocha wengi wamehusishwa kujiinga Tottenham lakini hakuna dili iliyokamilika hadi sasa wakati ambapo timu zinajiandaa na maadalizi ya msimu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad