AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi la abiria lenye Namba za Usajili T 116 BHD mali ya kampuni ya Scorpion lililokuwa likitokea mkoani Shinyanga kuelekea Kasulu mkoani Kigoma lilitekwa na majambazi na abiria wakaporwa vitu vyao
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Kamishna Msaidizi wa Polisi James Manyama amesema tukio hilo limetokea katika pori lililopo jirani na Kambi ya Wakimbizi ya Nduta
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK