Mawe ya yaliyokimbiliwa Afrika Kusini yagundulika kuwa hayakuwa Almasi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wataalam wa machimbo ya migodi wamebaini kuwa mawe yaliyopatikana KwaHlati katika Ladysmith, KwaZulu-Natal nchini Afrika Kusini ni vipande vya madini ya quartz na, sio Almasi.
Jopo la wataalamu lilitoa tangazo Jumapili.

Zaidi ya watu 1,000 walikimbilia katika kijiji cha KwaHlatikusaka kuyasaka mawe hayo ambayo waliamini yalikuwa ni Almasi.

Watu walisafiri kutoka maeneo mbali mbali kote nchini Afrika Kusini kujiunga na wanavijiji ambao walikuwa wakiyachimba tangu Jumamosi , baada ya kusikia kuwa vipande hivyo vya mawe vilikuwa ni Almasi ambayo ingewatajirisha.

Uvumbuzi wa mawe haya utabadilisha maisha, alisema mchimbaji mmoja Mendo Sabelo aliyekuwa amebeba vipande vya mawe hayo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad