google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html MCT yalaani Waandishi wa habari kutishiwa | UDAKU SPECIAL

MCT yalaani Waandishi wa habari kutishiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Baraza la Habari Tanzania (MCT) linalaani vikali kitendo cha watu wasiojulikana kuwatisha waandishi wa habari wa ITV, TBC na Mwananchi kutokana na kuandika habari zinazomhusu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, anayetuhumiwa kwa makosa mbali mbali mahakamani.
Akizungumza leo, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, amesema Baraza limepokea taarifa hizo kwa mshtuko mkubwa hasa ikizingatiwa kuwa Mei 20, 2021 katika Mkutano Mkuu wa Wahariri mjini Morogoro, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema Serikali haitakubali kuona waandishi wa habari wakinyanyaswa.

Alisema Katika hotuba yake hiyo, Waziri Mkuu aliongeza kusema kuwa “Siyo sera ya Serikali kunyanyasa waandishi wa habari” alinukuu Kajubi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad