Morocco yahalalisha bangi ya dawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Bunge nchini Morocco limeidhinisha sheria inayohalalisha ukuzaji wa bangi kwa ajili ya matumizi ya tiba na viwandani.
Lengo ni kuingia katika soko la kimataifa linalokua la kimataifa, kukuza kilimo na kutoa ajirahasa katika maeneo ya vijijini ambayo hayana maendeleo.

Morocco ni moja nchi zinazokuza bangi kwa kiwango kikubwa kwa matumizi haramu. Hii itasalia kuwa haramu chini ya sheria mpya.

Madhara ya Bangi

Unaweza kusababisha kuchanganyikiwa na wasiwasi usio wa kawaida

Ikivutwa na tumbaku, inaweza kuongeza hatari ya ugonjwa kama vile saratani ya mapafu

Matumizi ya mara kwa mara yamehusishwa na hatari ya kupatwa na magonjwa ya kiakili

Upungufu wa kudumu wa kiwango cha mtu kufikiria na kufahamu mambo, baada ya kutumia kwa muda mrefu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad