google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Morogoro: Mchina Akamatwa kwa Kutorosha Dhahabu | UDAKU SPECIAL

Morogoro: Mchina Akamatwa kwa Kutorosha Dhahabu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya kwa kushirikiana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo wamekamata madini ya dhahabu yenye uzito wa kilo mbili yanayodaiwa kuwa yalikuwa yakitoroshwa na mwekezaji raia wa China akishirikiana na mwekezaji mzawa wa Tanzania, Junior Kasanga.



Madini hayo yalichimbwa katika Mgodi mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo mkoani Morogoro.

 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad