Mtoto wa miaka 13 adaiwa kupigwa risasi na polisi kisa kukiuka masharti ya corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Jeshi la Polisi nchini #Uganda, linachunguza mauaji ya Ester Naula (13) ambaye amedaiwa kupigwa risasi na Polisi kwa kukutwa nje saa moja na robo usiku ambao ni muda wa kuwa ndani

Tukio hilo limetokea katika Wilaya ya Butaleja, ambapo inaelezwa kuwa Ester alikuwa ametoka kununua chapati ndipo Polisi alirusha risasi baada ya Ester na Wananchi wengine kukimbia ili kuepuka kukamtwa

Aidha, Msemaji wa Polisi wa Mkoa wa Kusini, Moses Mugwe amethibitisha tukio hilo lililoacha majeruhi kadhaa. Polisi aliyefanya tukio hilo ameshakamatwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad