Mwigulu: Licha ya mlipuko wa COVID-19, Tanznaia uchumi kwa mwaka 2020 pato la Taifa lilikua kwa 4.8%

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Licha ya mlipuko wa COVID-19 ulioathiri uchumi wa nchi nyingi, TZ ni miongoni mwa nchi chache Duniani zilizokuwa na ukuaji chanya wa uchumi kwa mwaka 2020 pato la Taifa lilikua kwa 4.8% ikilinganishwa na ukuaji wa 7.0% mwaka 2019”



“Kwa mwaka 2020 pato kwa mtu lilikadiriwa kufikia shilingi 2,653,790, sawa na dola za Marekani 1,151.0, ikilinganishwa na shilingi 2,573,324, sawa na dola za Marekani 1,118.9 kwa mwaka 2019, ikiwa ni ongezeko la asilimia 3.1”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad