Mwimbaji Nickki wa Pili Aapishwa Kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakari Kunenge amemuapisha Nickson Simon John maarufu @nikkwapili kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe

Nickki wa pili anachukua nafasi ya DC Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad