"Nadhani Nipo Tayari Watu Wangu" - Barakah The Prince

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Unaweza kusema the long wait is over, baada ya Barakah The Prince kuashiria urejeo wake na kazi mpya.

The Black African Prince ame-share picha instagram akiwa location aki-shoot video na kudokeza kuwa ni wakati sahihi wa yeye kuwapa burudani mashabiki zake.

Ameandika, "nadhani nipo tayari sasa watu wangu".

Barakah amekaa kimya karibu nusu mwaka bila kuachia wimbo wake rasmi, zaidi ya kusikika kupitia baadhi ya nyimbo alizoshirikishwa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad