“Nimepitia Wakati Mgumu Sana Baada ya Kuondoka Kings Music” – Killy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii kutoka lebo ya Konde Music Worldwide Killy, amekiri kupitia wakati mgumu sana baada ya kufanya maamuzi magumu ya kuikacha lebo yake ya zamani Kings Music kwani alihitaji kutumia muda mrefu zaidi ku-adopt mazingira ya lebo na aina ya mtindo wa maisha mapya.

 

'The vocalist master' Killy tayari ameachia kazi yake mpya inatwa Roho.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad