AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Chanjo ya corona itakuja Tanzania lakini itakuwa hiari kwa mtu kuchanjwa, haitakuwa lazima, Tuliamua kwamba Twende na Ulimwengu unavyokwenda Tuchanje, Tuchanje kwa hiari Mtanzania anayetaka atachanja asiyetaka atajiskiliza nafsi yake,
Sisi kama Serikali tunahimiza yale yanayoshauriwa na wataalamu, kama unaamini kwenye kupiga nyungu wewe piga, Kila mmoja atekeleze wajibu wake, Jikingeni sana na wakingeni watoto" - Rais @samia_suluhu_hassan
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK