Rais Samia "Chanjo ya corona itakuja Tanzania lakini itakuwa hiari kwa mtu kuchanjwa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 "Chanjo ya corona itakuja Tanzania lakini itakuwa hiari kwa mtu kuchanjwa, haitakuwa lazima, Tuliamua kwamba Twende na Ulimwengu unavyokwenda Tuchanje, Tuchanje kwa hiari Mtanzania anayetaka atachanja asiyetaka atajiskiliza nafsi yake,


Sisi kama Serikali tunahimiza yale yanayoshauriwa na wataalamu, kama unaamini kwenye kupiga nyungu wewe piga, Kila mmoja atekeleze wajibu wake, Jikingeni sana na wakingeni watoto" - Rais @samia_suluhu_hassan

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad