AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper @iamconboi Amerudi Rasmi Kwenye Ukurasa Wake Wa Instagram Baada Ya Kudukuliwa Kwa Siku Kadhaa Zilizopita, Pamoja Na Hivyo #CONBOI Amesema Pia Acount Yake Ya Youtube Pia Ilidukuliwa Lakini Vyote Kwa Pamoja Sasa Vimerudi. Pamoja Na Vyote Ameshare Good News Zingine Kuwa Amepata Gari Mpya Aina Ya BMW.
Kupitia IG Yake Ameandika......."Yooh Yooh..!! it's been a while coz they hacked My youtube as well as instagram .. but i'm GRATEFUL coz they're all back and i got a new CAR 🚙 right noow😅 thanks to GOD ,my FANS and all people who are supporting me kwenye Muziki Wangu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK