Rapper Conboi Afunguka Kununua Gari Mpya "Tukutane Sheli"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 Rapper @iamconboi Amerudi Rasmi Kwenye Ukurasa Wake Wa Instagram Baada Ya Kudukuliwa Kwa Siku Kadhaa Zilizopita, Pamoja Na Hivyo #CONBOI Amesema Pia Acount Yake Ya Youtube Pia Ilidukuliwa Lakini Vyote Kwa Pamoja Sasa Vimerudi. Pamoja Na Vyote Ameshare Good News Zingine Kuwa Amepata Gari Mpya Aina Ya BMW.

Kupitia IG Yake Ameandika......."Yooh Yooh..!! it's been a while coz they hacked My youtube as well as instagram .. but i'm GRATEFUL coz they're all back and i got a new CAR 🚙 right noow😅 thanks to GOD ,my FANS and all people who are supporting me kwenye Muziki Wangu

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad