Rapper Drake Analalia Godoro la Shilingi Milioni 927


Rapa #Drake @champagnepapi anaripotiwa kuwa analalia godoro lenye thamani ya dola za kimarekani 400,000 ambazo ni sawa na milioni 927 kwa fedha za Tanzania 🇹🇿

Hii ni kwa mujibu wa tovuti ya habari ya #HipHopDx ikieleza kuwa godoro hilo limetengenezwa kwa material ya nywele za farasi, ngozi ya samaki aina ya (stingray) pamoja na leather (Grand Vividus)

Je, Godoro Lako lina Thamani ya Kiasi Gani ?

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad