AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la Soka Ulaya #UEFA leo Juni 24, 2021 limetangaza kuifuta sheria ya goli la ugenini kutumika kwenye mashindano ya vilabu kuanzia msimu wa 2021/22
Kama ikitokea timu ziko sare kwa matokeo basi zitacheza dakika 30 zaidi na zikiwa hazijafungana zitaingia kupiga mikwaju ya penati
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK