google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Simba na Yanga Kukutana Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam | UDAKU SPECIAL

Simba na Yanga Kukutana Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya @simbasctanzania imefanikiwa kufuzu kuingia hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam #ASFC Baada ya Kuichapa @azamfcofficial Bao 1-0 katika Mchezo wa Nusu Fainali uliopigwa katika Dimba la Majimaji 🏟 Mkoani Songea,

Sasa ni Rasmi Simba Sc itakutana na yanga Sc kwenye Hatua ya Fainali ya Kombe la shirikisho la Azam #ASFC itakayopigwa katika Dimba la Lake Tanganyika 🏟 Mkoani Kigoma.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad