AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya @simbasctanzania imefanikiwa kufuzu kuingia hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam #ASFC Baada ya Kuichapa @azamfcofficial Bao 1-0 katika Mchezo wa Nusu Fainali uliopigwa katika Dimba la Majimaji 🏟 Mkoani Songea,
Sasa ni Rasmi Simba Sc itakutana na yanga Sc kwenye Hatua ya Fainali ya Kombe la shirikisho la Azam #ASFC itakayopigwa katika Dimba la Lake Tanganyika 🏟 Mkoani Kigoma.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK