AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) ambao wamewahi kukaa gerezani wamesema wanafungua Kesi kupinga unyanyasaji unaoendelea katika magereza ya #Tanzania
Wamesema Tanzania imesaini na kuridhia Mikataba kadhaa kuhusu Haki za msingi za Wananchi ikiwemo Tamko la #HakiZaBinadamu linaloeleza kufungwa hakumfanyi mtu apoteze Haki zake
Unyanyasaji uliotajwa kuendelea kwenye magereza ni pamoja na wafungwa kuvuliwa nguo hadharani, kupewa nguo moja katika maisha yao gerezani, kupangiwa muda wa kwenda haja na kutolipwa kwa kazi zao
Wamesema kutumikia kifungo hakuondoi Utu, bali mfungwa anatakiwa kukosa Uhuru wa kwenda anapotaka. #Haki nyingine zilizoainishwa na #Sheria na Mikataba ya Kimataifa zinaendelea kuwepo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK