google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Sugu na Msigwa Waliamsha DUDE, Kufungua Kesi Kupinga Unyanyasi Magerezani | UDAKU SPECIAL

Sugu na Msigwa Waliamsha DUDE, Kufungua Kesi Kupinga Unyanyasi Magerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi (Sugu) ambao wamewahi kukaa gerezani wamesema wanafungua Kesi kupinga unyanyasaji unaoendelea katika magereza ya #Tanzania

Wamesema Tanzania imesaini na kuridhia Mikataba kadhaa kuhusu Haki za msingi za Wananchi ikiwemo Tamko la #HakiZaBinadamu linaloeleza kufungwa hakumfanyi mtu apoteze Haki zake

Unyanyasaji uliotajwa kuendelea kwenye magereza ni pamoja na wafungwa kuvuliwa nguo hadharani, kupewa nguo moja katika maisha yao gerezani, kupangiwa muda wa kwenda haja na kutolipwa kwa kazi zao

Wamesema kutumikia kifungo hakuondoi Utu, bali mfungwa anatakiwa kukosa Uhuru wa kwenda anapotaka. #Haki nyingine zilizoainishwa na #Sheria na Mikataba ya Kimataifa zinaendelea kuwepo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad