Tanzia: Ismail Michuzi Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MWANAMUZIKI mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia leo asubuhi Juni 3,  katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar alikokuwa akitibiwa maradhi ya tumbo.

Ismail, ambaye ni kaka yake mpiga picha maarufu na blogger Muhidin Issa Michuzi, amefariki akiwa na umri wa miaka 61.

Ismail atakumbukwa kuwa mmoja wa viongozi na waanzilishi wa bendi ya Dar International chini ya Marijani Rajabu na pia alihudumu kama katibu wa bendi toka mwanzo wake hadi mwisho.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad