TB Joshua Alikaa Miezi 15 Tumboni Kwa Mama yake...Hakika Hakuwa wa Kawaida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




WAKATI simanzi ikiwa imetawala kufuatia kifo cha Mhubiri wa Kimataifa wa Nigeria, T.B Joshua, taarifa ikufikie kwamba miongoni mwa stori zake za kushangaza ni kwamba alikaa tumboni mwa mama yake kwa miezi 15 kabla ya kuzaliwa tofauti na binadamu wa kawaida ambaye huzaliwa baada ya miezi 9.


Kwa mujibu wa Mtandao wa kanisa lake la SCOAN, @tbjoshua aliishi ndani ya tumbo la mama’ke kwa miezi 15 kabla ya kuzaliwa kwake.


TB Joshua amefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 58.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad