Vera Sidika Azima Kelele za Ujauzito Feki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Vera Sidika imemlazimu kuthibitisha kama kweli ni mjazito kutokana na madai ya watu wengi kuwa ujauzito wake ni bandia (fake).

Baada ya taarifa za uvumi kuenea sana mitandaoni, Vera amewafunga midomo watu kwa ku-post picha ikionesha ujauzito wake na kuambatanisha ujumbe unaosomeka “kwa hivyo tumbo langu litaonekana kuwa kubwa katika picha zangu zote kwa miezi kadhaa, itabidi selfies pia zikam through”.

Watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii walikuwa wakimkosoa kwa miaka mingi kwa kutopata ujauzito na hatimaye hilo amelifanikisha na mpenzi wake Brown Mauzo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad