AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wapiganaji 18 wa Al-Shabaab ambao walihukumiwa kifo, wameuawa Juni 27, 2021 huko Galkayo katika Jimbo la Puntland
Wapiganaji hao walihusika na mauaji ya watu muhimu wa nchi hiyo yakiwemo mlolongo wa matukio ya mauaji na ulipuaji katika maeneo ya Galkayo na Mudug
Mwenyekiti wa Mahakama ya Jimbo la Puntland, Mohamud Abdi Mohamed amesema Mahakama imefanya uamuzi sahihi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK