google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Wapiganaji 18 wa Al Shabaab Wauwawa Kwa Amri ya Mahakama | UDAKU SPECIAL

Wapiganaji 18 wa Al Shabaab Wauwawa Kwa Amri ya Mahakama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wapiganaji 18 wa Al-Shabaab ambao walihukumiwa kifo, wameuawa Juni 27, 2021 huko Galkayo katika Jimbo la Puntland


Wapiganaji hao walihusika na mauaji ya watu muhimu wa nchi hiyo yakiwemo mlolongo wa matukio ya mauaji na ulipuaji katika maeneo ya Galkayo na Mudug


Mwenyekiti wa Mahakama ya Jimbo la Puntland, Mohamud Abdi Mohamed amesema Mahakama imefanya uamuzi sahihi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad