Wema ampigia debe Mondi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu ambaye pia ni Malkia wa urembo nchini mwaka 2006, amempongeza Msanii wa Bongofleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwa kuteuliwa kuwania kuwania tuzo za BET awards.

 

Wema ambaye alikuwa mpenzi wake Mondi, kupitia mtandao wake wa Instagram amemtia moyo Mondi kuwa aende kuchukua tuzo hiyo.

 

Mbali na kuposti picha ya Mondi katika akaunti yake, Wema aliandika “Go Get Em SIMBA…‼️ cc @diamondplatnumz”.

 

Katika tuzo hizo Diamond anachuana na Wizkid, Burna Boy, Emicida, Headie, Aya Nakamura, Youssoupha na Young T & Bugsey.

 

Hii ni mara ya tatu Diamond Platnumz kuchanguliwa kuwania tuzo za BET ambazo zinafanyika Juni 28, 2021. Mwaka 2014 alitajwa kwa mara ya kwanza kuwania tuzo hizo na mara ya pili ilikuwa mwaka 2016.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad