Young Lunya afunguka madai ya kutoka na Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rapa Young Lunya amefunguka kuhusu madai ya stori zinazosemekana kwamba anatoka kimahusiano na staa wa filamu Irene Uwoya kwa kusema kama taarifa hizo zingekuwa na ukweli ingeshajulikana.

Akizungumzia madai ya stori hizo zinazoendelea kwenye mitandao ya kijamii Young Lunya amesema

 "Ingekuwa ni kweli basi ingeshajulikana, uzuri ni kwamba mahusiano sio kitu cha kufichika".

Hii sio mara ya kwanza kwa Young Lunya kusemekana kwamba ana mahusiano na mastaa wa kike kwani kipindi cha nyuma zilitoka stori zinazosema ana-date na Mimi Mars pamoja na Barbiemia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad