Aliyemuua askari ajirusha kutoka kwenye gari ya polisi na kufariki dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mtuhumiwa wa ujambazi aliyefahamika kwa jina Jacob Kideko maarufu kwa jina LA Kichwaa ambaye anadaiwa kumuua Askari mmoja wa Jeshi la Polisi amefariki dunia kwa kujirusha kutoka kwenye gari ya polisi baada ya kukamatwa mjini Morogoro.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoania Arusha Justine Masejo amesema tukio hilo limetokea eneo la Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha wakati mtuhumiwa huyo akirejesha Arusha kutoka Morogoro kwaajili ya kuja kujibu tuhuma za mauaji ya Askari Damas Magoti analodaiwa kulifanya July 23/2021 katika kijiji cha Makiba wilayani Arumeru

Marehemu alifari njiani wakati akiwahishwa katika hospitali ya rufaa ya mount Meru, na mwili wake umehifadhi hospitalini hapo kwaajili ya utambuzi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad