AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askari Polisi wa Kituo Kidogo cha Polisi Mbughuni, Arumeru amefariki kwa kukatwa na panga alipokuwa akijaribu kumkamata Mtuhumiwa wa Wizi saa tano usiku katika Kijiji cha Makiba anakoishi Mtuhumiwa
Mwananchi aliliripoti tatizo la Mtuhumiwa kuiba mazao na alipokwenda kukamatwa, Mtuhumiwa mwingine kutoka nyumba jirani alikuja na kumpiga panga Askari huyo ambaye alifariki muda mfupi baada ya kuvunja damu nyingi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Justine Masejo amesema Mtuhumiwa amekimbia ila msako unaendelea
#Jamiiforums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK